• This is default featured slide 1 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

  • This is default featured slide 2 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

  • This is default featured slide 3 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

  • This is default featured slide 4 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

  • This is default featured slide 5 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday, September 22, 2017

NJIA TANO ZA KUTOA MADOA KWENYE NGUO ZA NDANI.

NGUO ZA NDANI BILA MADOA NI WAJIBU SIO WITO

Image result for baking powder stain remover
Wote yametukuta kwa njia moja ama nyingine, iwe katika siku zetu au uchafu unaotoka ukeni kama njia moja ya kujisafisha. Ile rangi inayobaki katika nguo ya ndani ni sababu ya kiwango cha acid kilichopo katika uchafu huo.

Sio siri kwa wadada wote menstruation blood (damu ya hedhi) ni adui kwa nguo zetu za ndani hasa unapopata kiajali safarini. Kwahiyo lazima ujue mbinu ya kuondoa stains (madoa sugu na ya kawaida) katika nguo zako za ndani,,huwezi kuchoma kila yenye doa sio?

Twende sawa tuone njia hizi rahisi za kundoa madoa kwenye nguo za ndani:

1. MAJI YA BARIDI.
Suuza nguo yako ( chupi) mara s tu unapoivua au kugundua kama imepata doa lolote iwe hedhi au uchafu wa kawaida. Maji ya baridi yanasaidia kulainisha uchafu na kufanya usigande. Kisha fua kwa sabuni yako ya kila siku.

2.ASPRIN (dawa)
Kama huna vidonge vya asprin nikushauri tu uwe navyo kuanzia sasa, zitakuokoa. Ponda vidoge vichache vya asprin kupata ungaunga kisha changanya na maji kidogo kupata ujiuji, kisha weka uji huo kwenye sehemu yenye doa  kisha uache kwa usiku kucha kisha fua.Wingi wa uji unategemea na ukubwa wa doa katika nguo yako ya ndani.

3. BAKING POWDER
 Image result for baking powder stain remover
Hii ni rahisi, taratibu zake ni kama zilivo katika asprin.Sema hii mi naiamini sana ilinipa majibu murua katika kutoa rangi mbovu kwenye kwapa. Jina jingine ni chapa mandashi.

4.HYDROGEN PEROXIDE.
Hii watu wanatumia kwenye vidonda, pharmacy zipo bei ya kawaida sana.paka kiasi sehem yenye doa au loweka kisha acha kwa mda hata dakika 30 kisha fua kawaida. Inaweza sababisha kuchuja kwa rangi tumia kwa nguo za ndani ambazo hazichuji.

5. LIMAO
Image result for lemon
Huyu ndo masterplan, anapatikana kirahisi ana kazi nyingi sana ikiwemo kuondoa madoa kwenye nguo za ndani. Loweka ngui yako ya ndani kwenye maji ya limao kwa muda kisha fua kawaida.Tumia kwa nguo ambazo hazichuji.


BONUS
  • Napenda kutoa njia nyingi asilia na nyepesi ila zinaitaji kuwa makini na kujenga tabia. kwa wanaopenda artificial unaweza nunua chemicals ambazo zinatoa madoa ILA  usuuze kwa maji mengi baana ya kufua ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza.
  • Tumia pantliners zisizo na harufu kipindi ambacho haupo kwenye c pihedhi,,usipozipenda usiendelee kutumia au tengeneza zako nyumbani( topic special)

Haina haja ya kutupa underwears kila siku sababu ya madoa, au kushindwa kuvaa underwear nyeupe kwa sababu hiyo. Naomba wahanga wenzangu mjaribu kisha tupia comment yako hapo chini au kama una swali unahitaji maelekezo namba yangu pia ipo wazi kwa profile.


Ahsante kwa mda wako
chelly
cherrs.

image powered by google
Share:

Search This Blog

Chaila Mustapha. Powered by Blogger.

Recent Posts

Theme Support